Jibu hili hapa:
Yesu alifufuka siku ya kwanza ya juma ambayo ni jumapili kama umma wote wa wakristo unavyoamini, Luka. 24:1-3, “Hata siku ya kwanza ya juma, ilipoanza kupambazuka, walikwenda kaburini, wakiyaleta manukato waliyoweka tayari. Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi, Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu"
Na hivyo siku ya kwanza ya juma ni jumapili na hivyo siku ya saba inaangukia jumamosi ambayo sabato ya Bwana.
Masomo mbali mbali ya neno la Mungu, Mahubiri, Shuhuda na Miziki ya injili. NENO LAKO NI TAA YA MIGUU YANGU NA MWANGA WA NJIA YANGU. (ZABURI 119:105).
Tuesday, 5 April 2016
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment