Je umekuwa ukijiuliza juu ya hukumu? Fuatilita somo
hili.
Fungu: (Ufunuo
20:12). "Nikawaona wafu wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti
cha enzi na vitabu vikafunguliwa na kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni cha
enzi na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile
vitabu sawa sawa na matendo yao."
Kumekuwa na dhana mbali mbali juu ya
hukumu. Wengine wamedai kuwa hakuna hukumu, wengine wakidai Mungu ana upendo
sana (jambo amblo ni kweli) na hivyo hawezi kuhukumu binadamu kifo hata ikiwa
wametenda dhambi. Wengine wamekuwa wakidhihaki huku wakidai hakuna kitu kama
hukumu kwani imemchukua Kristo miaka mingi na hadi leo hajarudi. Usichukuliwe
na dhana hizi mpendwa biblia ipo wazi na hata sasa hukumu inae